Tuesday, July 26, 2011

TAMASHA LA EPIQ NATION LAZUA GUMZO SINZA


                                            CP akitema swagga jukwaani
Tamasha le epiq Nation linalotayalishwa na mtandao wa kampuni ya simu za mikononi, Zantel, lililofanyika juzi katika viwanja vya TP Sinza Darajani,Jijini Dar es salaam, ambako lilivutia wapenzi wengi sana wa burudani.

No comments:

Post a Comment