Friday, July 22, 2011

SHILOLE "AMTAPIKA"BARNABA

Msanii wa filamu kitaa cha BONGO,Zuwena Mohamed "shilole" pichana amemtapika aliyekuwa mpenzi wake Elias Barnaba kwa madai kuwa hivi karibuni amemdhalilisha.
Akigonga story na mdaku wetu jana shilole alisema kuwa ,uhusiano wa kimapenzi kati yake na Barnaba haukuwa na kificho ila kwa kuwa ameonesha kutokuwa na msimamo  anaona bora waachane tuu.
Aliendelea kudai kuwa Barnaba ni mwanaume aliyezaliwa na tamaa na yeye ndiye aliyemchoka kwa hivyo anamsubiri akirudi kutoka marekani, wanaachana rasmi.

No comments:

Post a Comment