Msanii maarufu wa filamu Bongo, Aunt ezekiel sasa adaiwa kula urojo kufuatia kutokukaukiwa na skendo zinazowahusisha wanaume kila kukicha.
Hilo limebainika kufuatia na kitendo kilichotokea hivi karibuni cha mwanadafada huyo na msanii mwenzake, Yusuph Mlela kunaswa 'live' wakifanya mambo ya mahaba mbele ya kadamnasi .
Laana hiyo ilitokea ndani ya viwanja vya leaders club, kinondoni jijini Dar es salaam ambapo wasanii hao waligandana kama ruba muda mchache wakaonekana katika mazingira ya utata yaliyo ach vingi viulizo kwa watu waliokuwa wanapiga chabo.by likoko inc.
No comments:
Post a Comment