Wednesday, July 27, 2011

UMEME WALIGAWA BARAZA LA MAWAZIRI

Kauli tofauti zinazotolewa na viongozi wa serikali akiwemo Rais Jakaya Kikwete na baadhi ya mawaziri kuhusu suala la mgao wa umeme, zinaonesha kutokuwepo uwajibikaji wa pamoja katika baraza la mawaziri.Uchunguzi uliofanywa  na blog hii kuhusu sakata la tatizo la mgao wa umeme nchini imebaini kwamba kauli za viongozi hao wa serikari hawana sauti ya pamoja hivyo kuongeza utata katika kuleta suluhu juu ya suala hili nyeti.

No comments:

Post a Comment