Thursday, July 28, 2011

RAIS AMUITA IRENE UWOYA IKULU

Rais wa Burundi,Piere Nkurunzinza hivi karibuni alimuita ikulu mwigizaji super star wa filamu kutoka Bongo,IRENE UWOYA(pichani) akimtaka aende ikulu kwa ajili ya mazungumzo nae,Blog hii ina full madata.
Akizungumza na Blog hii julai 27 mwaka huu, Uwoya alisema Rais Nkurunzinza alimuita baada ya kusikia kuwa yupo nchini kwake na kuvuta hisia za wengi.
"Nilipokwenda Burundi kwa ziara ya kisanii,Rais Nkurunzinza alipata taarifa kuwa nimetingisha sana nchini kwake,kutokkana na hilo alitaka kuniona,alinitumia gari na ulinzi wa polisi ili waje kunichukua" Alisema IRENE UWOYA.

No comments:

Post a Comment