Thursday, July 28, 2011

MISS:SIWEZI KUWA MALAYA KAMA WEMA

Miss Vodacom kanda ya mashariki,Loveness Flavian (pichani),amesema awezi kuwa na skendo mbovu kama miss Tanzania 2006 Wema Sepetu zinazomwandama kila kukicha na kuonesha sura mbaya ya tasnia ya urembo.
Loveness alisema hivi karibuni kuwa, skendo anazozifanya Wema zinasababisha baadhi ya watu kuchukia mashindano ya urembo kwa imani kuwa kuwahusisha wasichana wasio na maadili mema katika jamii.(picha na moudy likoko)

No comments:

Post a Comment