Thursday, July 21, 2011

PINDA: Hatima ya Divid jailo iko kwa raisi.

Waziri mkuu Mizengo Pinda anayaweke hadharani maagizo aliyopewa na Raisi jakaya kikwete kuhusu tuhuma za rushwa zinazomkabili katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini David jailo, Pinda  ameambiwa  hatulie swala hilo hatalishughulikia raisi mwenyewe  atakapotoka ziarani afrika kusini.tuhuma za jailo ziliibuliwa nambunge wa kilindi (ccm) Beatrice shelukindo ambaye alisema jailo ameziandikia barua idara na taasisi hizo akiagiza ziweke fedha hizo kwenye akaunti namba 5051000068 inayomilikiwa na Geological survey of tanzania (GST) kwenye benki ya NMB, tawi la Ddoma.  habari zaidi na Moudy Likoko.

No comments:

Post a Comment