Wednesday, July 27, 2011

SALA YA WATANZANIA WENGI SIKU HIZI!!!


Eeh Tanesco uliyeko Ubungo,Jina lako ni kuu sana Ufalme wako unaheshimiwa,Mwanza hadi  Sumbawanga. Utakalo lifanyike ila si hili la kutukatia Umeme bila ratiba. Utupe umeme wetu wa kila siku,utusamehe kutukatia umeme 24hrs. Usitutie katika vishavishi ya kuandamana ,kutaka Ngeleja ajiuzuru....

No comments:

Post a Comment